1 |
Jinsi ya kucheza TatuMzuka |
-
Nenda kwenye Mfumo wa Pesa kwenye simu yako, Chagua Lipia Bili kisha namba ya kampuni weka
555111
-
Kwenye namba ya kumbukumbu, ingiza namba zako Tatu za bahati kuanzia 0-9 zikifuatiwa na neno
WEB, mfano 637 WEB
-
Ingiza kiasi chochote cha fedha kama dau lako. Unaweza kuweka kiasi chochote kuanzia Sh 500
hadi 30,000
|
2 |
Nawezaje kuingia kwenye Jackpot? |
Habari, Kila unapocheza unapata nafasi moja ya kuingia kwenye Jackpot. Ahsante
|
3 |
Nimepatia namba zote lakini nimepewa mara mbili ya dau langu |
Nenda kwenye Mfumo wa Pesa kwenye simu yako, Chagua Lipia Bili kisha namba ya kampuni weka 555111
|
4 |
Baada ya namba zangu tatu naandika nini? |
Habari, Unatakiwa kuandika neno au kituo ambapo umesikia au kuona Tangazo la Tatumzuka. Ahsante
|
5 |
Kwanini ujumbe wa Tatumzuka unachelewa kunifikia baada ya kucheza? |
Habari,Ujumbe wa Tatumzuka utachelewa kukufikia kutokana na mtandao kuzidiwa kugawa
ujumbe kwa wachezaji wote wa lisaa husika, lakini bashiri zako zinatufikia na ikitokea
umeshinda utapokea pesa yako kama kawaida. Ahsante
|
6 |
Je natakiwa kucheza namba za bahati hizo hizo pekee bila kubadili. |
Habari, Unaweza kubadili namba za bahati kila unapocheza Tatumzuka. Ahsante
|
7 |
Naweza kucheza mara ngapi kwa siku |
Habari, unaweza kucheza mara nyingi kadri uwezavyo kila baada ya dkk 10 siku nzima. Ahsante
|
8 |
Je naweza kujua nina point ngapi hadi sasa |
Habari, Bahati nasibu ya TatuMzuka huchezeshwa kwa kutumia namba za bahati pamoja na tiketi na sio
point. Ahsante
|
9 |
TatuMzuka itaisha lini? |
Habari, TatuMzuka ni mchezo wa bahati nasibu endelevu na hauna kikomo. Ahsante
|
10 |
Mwisho wa kucheza ni saa ngapi? |
Habari, TatuMzuka huchezwa kwa saa 24 siku nzima. Ahsante
|
11 |
Je napataje namba za bahati? |
Habari, Pangilia namba zako kwa kukisia kichwani kuanzia 0 mpaka 9 ili kubahatisha namba za ushindi.
Ahsante
|
12 |
Nimecheza mara nyingi lakini sijawahi kushinda kwanini? |
Habari, Ili kushinda unapaswa kulinganisha namba za ushindi zote tatu kwa mpangilio au kulinganisha
namba mbili kati ya Tatu za ushindi. Ahsante
|
13 |
Kwanini mtu asiongezewe kiwango kama atafananisha namba zote tatu lakini hazipo kwenye mpangilio?
|
Habari, Ni utaratibu ili upate mara 100 ya pesa lazima namba zako za bahati zifanane sawa kwa
mpangilio na namba za ushindi wa lisaa husika. Ahsante
|