TatuMzuka | Home \
Title




Jinsi ya Kuongeza pesa TatuMzuka Tanzania kwa Tigo, Vodacom, Airtel & Halotel

Ongeza kadri uwezavyo



Play Tatumzuka with airtel
  1. Bonyeza *150*00#
  2. Chagua namba 4 (Lipia Bili)
  3. Chagua 4 kisha weka namba ya kampuni(555111)
  4. Ingiza namba ya kumbukumbu 9999
  5. Weka kiasi cha pesa unachotaka kuongeza kati ya shilingi 500-30,000
  6. Ingiza namba yako ya siri, Bonyeza 1 kuthibitisha muamala wako
Play Tatumzuka with mtn
  1. Bonyeza *150*01#
  2. Chagua namba 4 (Lipia Bili)
  3. Chagua 3 kisha weka namba ya kampuni(555111)
  4. Ingiza namba ya kumbukumbu 9999
  5. Weka kiasi cha pesa unachotaka kuongeza kati ya shilingi 500-30,000
  6. Ingiza namba yako ya siri Bonyeza OK kuthibitisha muamala wako
Play Tatumzuka with mtn
  1. Bonyeza *150*88#
  2. Chagua namba 4 (Lipia Bili)
  3. Chagua 4 Bahati nasibu
  4. Chagua namba 2 TatuMzuka
  5. Ingiza namba ya kumbukumbu 9999
  6. Weka kiasi cha pesa unachotaka kuongeza kati ya shilingi 500-30,000
  7. Ingiza namba yako ya siri, Bonyeza 1 kuthibitisha muamala wako
Play Tatumzuka with airtel
  1. Bonyeza *150*60#
  2. Chagua namba 5 (Lipia Bili)
  3. Chagua 4 kisha weka namba ya kampuni(555111)
  4. Ingiza namba ya kumbukumbu 9999
  5. Weka kiasi cha pesa unachotaka kuongeza kati ya shilingi 500-30,000
  6. Ingiza namba yako ya siri Bonyeza OK kuthibitisha muamala wako





Rahisi! Utapokea tiketi yako kupitia ujumbe mfupi wa maandishi.
Linganisha namba 2 au 3 bila mpangilio au 3 kwa mpangilio na ushinde kati ya Tzs 1000 na Tzs 6,000,000.
Utapokea ujumbe mfupi baada ya ushindi, na pesa ya ushindi italipwa moja kwa moja kwenye akaunti
yako ya tigopesa, Airtel Vodacom au Halotel.